Saturday, January 10, 2009

AIDS in Mbeya and Iringa??!!

Katika Kijarida cha Habari za Ukimwi (April - June 2008) Takwimu zinaonyesha kuwa maambukizi ya Ukimwi kufuatia Kampeni ya Kitaifa ya Kupima Ukimwi kwa Hiari ni kama Ifuatavyo:Maambukizi ya Juu:- Mbeya - 15.2% (Kyela 24%, Chunya 23.7%)- Iringa - 14.7% (Ludewa 19.7%, Makete 16.8%) - Dar Es Salaam - 8.3%- Mwanza - 8.1 %- Coastal - 6.2%- Ruvuma - 5.6%Hakuna sababu zilizoainishwa ni nini vichocheo vikubwa vya maambukizi haya.Wazalendo, Tunaambiwa Elimu Kuhusu Ukimwi imewafikia Watanzania kwa kiwango cha kutosha ikiwa ni pamoja na jinsi ya kujikinga na maabukizi. - Je, ni nini vichocheo vya maambukizi makumbwa yaliyoainishwa hapo juu na ni nini kifanyike?

No comments: