Sunday, March 15, 2009

Safari yangu ya kwenda Iwindi Kijijini kwangu




Baada ya miaka zaidi ya mitatu kutoonana na mama,babu na wote nyumbani at last nimekutana nao na kuwakuta wazima na wao hawajaamini kuniona mwanao baada ya muda mrefu sana.Haha!I miss u all again ...


















Even people who are not my relatives they all missed seeing me,That is amazing!





My trip to Tanzania...


My Trip to tanzania(home)...Was really nice!













Nimekutana na Majid Mjengwa Dar

My holiday was nice and nilifurahi sana pale siku moja nilipokuwa nikipata kifungua kinywa cha maziwa,chapati na vitumbua katika mgahawa mmoja pembeni mwa Lumumba road.Huyu kaka namkubali wa kuweka picha za kuonesha the really Tanzania kwa kila kona ya nchi,hata kule kusikofikika yeye hufika.
All the best bro in your majukumu!