Sunday, March 15, 2009
Nimekutana na Majid Mjengwa Dar
My holiday was nice and nilifurahi sana pale siku moja nilipokuwa nikipata kifungua kinywa cha maziwa,chapati na vitumbua katika mgahawa mmoja pembeni mwa Lumumba road.Huyu kaka namkubali wa kuweka picha za kuonesha the really Tanzania kwa kila kona ya nchi,hata kule kusikofikika yeye hufika.
All the best bro in your majukumu!
All the best bro in your majukumu!
Subscribe to:
Posts (Atom)